Bro. wangu mkubwa Mr. Exaudy |
miye (kushoto), dada yangu (katikati) na mama yangu mzazi (mwisho) |
bibi akitupa baraka mimi na dada yangu |
buroooo huyoooo |
twajiandaaa kuingia ndani ya hifadhi..... |
kwa wachache waliofika hifadhi ya manyara watapajua hapa.... ni nje ya hifadhi |
baaadhi ya waliokuwepo... |
bakground halisi ya bonde la ufa... |
kwa waliosoma miaka ya kuanzia 95 mpaka 2000, wataikumbuka picha hii ipo kwenye atlasi... nami nilijaribu kupiga kama ile..... comment nimepatia au??? |
pia Mr. amani the video editor and shuter nae alikuwepo... |
wasaaaaa wa kwaitooo... |
kwa tuliojikuta twaipenda TZ, tukatengeneza mapozi yetu..... |
ukweli tulishangaaa sana kuona mbwa na paka kukaa pamoja tena kirafiki.... ajabu!!!! |
ndipo nilipopatia elimu ya msingi na mpaka leo bado ipo... |
na hiyo ndiyo kengele ya tokea mwanzo wa shule hadi leo.... |
Add caption |
mie na dogo langu Eliya... |
kukopi na kupesti..... mie na my dady... pamoja na dada yangu wa ukwe'eeeehh Vidaeli |
dada mercerian |
Arusha baridiiii..... |
pia nalipata jioni ya furaha ya kuka na baba pamoja na wadogo zangu Vidael na God... |
nlikutana na Mr. Presidaaaa... Emmanuel a.k.a. Manu |
No comments:
Post a Comment